Jumatatu, 8 Aprili 2013

MTUME:PETER NYAGA, NEEMA MWAIPOPO, JANE MISSO NA JOSEPH NYUKI WAFANYA MAMBO MAPYA ZANZIBAR - 2011

Kama ilikawaida ya blog yangu hii hua ina kuleta mambo yangu na mambo mengine yanayo husu jamii bila ya kusahau gospel yaani wasanii wa nyimbo za Ijili. Hii haijawahi kutokea hapa kisiwani watu kuhudhuria katika mkutano wa ijili kama hivi. kwakweli wasanii tupo juu maana wasanii wa nyimbo za injili wamekiteka kisiwa hiki kwa kumiminina watu katika uwanja wa tumbatu uliopo hapa Zanzibar. JOSUPH NYUKI, NEEMA MWAIPOPO na JANE MISSO wame ikama ta Zanzibar wakifuanata na mtume PETER NYAGA.


umati wa watu ulio kusanyika katika mkutano huu ambao ulifanyika kuanzia tarehe 21-23mwezi huu huu wa kumi mwaka 2011



jamani hii ni Zanziamakweli mambo yana badilika



picha hii nilipigwa kwa kustukizwa maana nilikua mshamba kwa kuona umati kama huu kwangu ilikua ni ajabu kwa mambo haya kutokea kisiwani hapa.

mtume Nyaga akiwaombea watu.

mzee akitoa mambo kwa msisitizo

mtume Nyaga ndo huyu hapa akiwa jukwaani Zanzibar


Mtume Peter Nyaga akihubiri

IKAFIKA ZAMU YA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA IJILI YAANI WASANII
tutake tusitake wasanii tuna hitajika tu maana licha wa mahubiri watu pia wali fuata wasanii wa nyimbo za ijili ndio maana uwanja ukajaa hivyo na kwakweli walitenda haki

Neema Mwaipopo na Jane Misso wakipagawisha watu jukwaani



Mwaipopo akiwaimbia "Jamani rahaaaa jipemwenyeweeeeee" ilikua sio mchezooo

Jane misso akirudi kukaa

waandishi wa habari pia walikuwepo

kitu kilikwenda mpaka usiku hapa Nyuki ndo alisimama kwa ajili ya kuimba watu walipiga kelele na wengine kukanyagana kwaajili ya kuona manjonjo ya huyu bwana. kama huja wahi kumuona jukwaani basi pole na utakapo muona uniambie. kweli sanaa ni kipaji toka mouoni

akianza manjonjo

haya atayari ana anza huyooo

ilikua tayari usiku ila watu walikomaa kuangalia shoo hao ni baadhi ya wachungaji na huyo mwenye suti nyeupe ni Askofu wa makanisa ya kipentekoste Zanzibar Bishop: Obeid.weweeeee

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni